Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 12
JUMA LINALOANZA OKTOBA 12
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 4-6
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 4:15-28
Na. 2: Kumkumbuka Yehova na Mwana Wake (lr sura ya 37)
Na. 3: Ni Wakati Gani Inaweza Kusemwa Kwamba Kuwa na Vitu Vichache Ni Bora? (Met. 15:16)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kuongoza Mafunzo ya Biblia ya Nyumbani. Hotuba inayotegemea habari katika kitabu Tengenezo, ukurasa wa 98, fungu la 2, hadi ukurasa wa 99, fungu la 1. Waombe wahubiri waeleze kifupi shangwe waliyopata kwa kumfundisha mtu kweli.
Dak. 10: Toleo la Mwezi wa Oktoba. Panga maonyesho mawili. Katika onyesho moja, mhubiri anapaswa kuuliza swali ili liwe msingi wa mazungumzo atakaporudi. Katika onyesho la pili, anapaswa kuonyesha jinsi ya kuanzisha funzo anapomtembelea mwenye nyumba mara ya kwanza. Baada ya kila onyesho, unaweza kuwa na mazungumzo pamoja na wasikilizaji, yanayokazia mambo waliyojifunza kutokana na maonyesho hayo.
Dak. 10: “Je, Uko Tayari Kuhubiri Isivyo Rasmi?” Mazungumzo kwa maswali na majibu.