Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 10/09 uku. 1
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 12

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 12
  • Huduma ya Ufalme—2009
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA OKTOBA 12
Huduma ya Ufalme—2009
km 10/09 uku. 1

Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 12

JUMA LINALOANZA OKTOBA 12

Wimbo 110

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

lv sura ya 11 ¶10-19

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 4-6

Na. 1: Kumbukumbu la Torati 4:15-28

Na. 2: Kumkumbuka Yehova na Mwana Wake (lr sura ya 37)

Na. 3: Ni Wakati Gani Inaweza Kusemwa Kwamba Kuwa na Vitu Vichache Ni Bora? (Met. 15:16)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 13

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Kuongoza Mafunzo ya Biblia ya Nyumbani. Hotuba inayotegemea habari katika kitabu Tengenezo, ukurasa wa 98, fungu la 2, hadi ukurasa wa 99, fungu la 1. Waombe wahubiri waeleze kifupi shangwe waliyopata kwa kumfundisha mtu kweli.

Dak. 10: Toleo la Mwezi wa Oktoba. Panga maonyesho mawili. Katika onyesho moja, mhubiri anapaswa kuuliza swali ili liwe msingi wa mazungumzo atakaporudi. Katika onyesho la pili, anapaswa kuonyesha jinsi ya kuanzisha funzo anapomtembelea mwenye nyumba mara ya kwanza. Baada ya kila onyesho, unaweza kuwa na mazungumzo pamoja na wasikilizaji, yanayokazia mambo waliyojifunza kutokana na maonyesho hayo.

Dak. 10: “Je, Uko Tayari Kuhubiri Isivyo Rasmi?” Mazungumzo kwa maswali na majibu.

Wimbo 48

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki