Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 19
JUMA LINALOANZA OKTOBA 19
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 11 ¶20-22, sanduku kwenye uku. 131
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 7-10
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 9:1-14
Na. 2: Kwa Nini Tumpende Yesu? (lr sura ya 38)
Na. 3: Biblia Inawatolea Watu Wangapi Tumaini la Uzima wa Mbinguni? (rs uku. 202 ¶3-4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Unaweza Kuboresha Uelewaji Wako kwa Kufanya Utafiti. Hotuba inayotegemea habari kuanzia ukurasa wa 33 hadi kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 34 wa kitabu Shule ya Huduma. Unapozungumzia sehemu hii onyesha jinsi wahubiri wanavyoweza kuwatia moyo wanafunzi wao kwa kuwaonyesha jinsi ya kufanya utafiti ili kuimarisha imani yao na kujitahidi kufikia mradi wa kuwa wahubiri. Panga onyesho kuhusu jinsi mhubiri anavyoweza kumsaidia mwanafunzi wa Biblia aelewe umuhimu wa kufanya utafiti.
Dak. 15: “Kuhubiri kwa Simu Kunaweza Kuwa na Matokeo.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Panga wahubiri wawili watayarishe kila mmoja onyesho moja kuhusu jinsi wanavyoweza kutumia toleo la mwezi huu. Watie moyo wahubiri wawe na eneo la kibinafsi. Ona kitabu Tengenezo kuanzia ukurasa wa 102 fungu la 3 hadi ukurasa 104 fungu 1; w09 6/15 ukurasa wa 12 fungu la 7.