Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 26
JUMA LINALOANZA OKTOBA 26
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 11-13
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Mnara wa Mlinzi la Oktoba 1 na Amkeni! la Oktoba. Eleza kifupi yaliyomo katika magazeti hayo. Waombe wasikilizaji wataje ni makala gani katika toleo la pekee la Amkeni! la Oktoba ambazo zinaweza kuwavutia watu katika eneo lenu. Mhoji painia mwenye uzoefu wa kutayarisha vizuri mambo ya kusema kwenye huduma, na umwombe aonyeshe jinsi anavyopanga kutoa toleo hili la pekee la Amkeni!
Dak. 10: Biblia Inafundisha Nini Hasa? Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Waombe wasikilizaji waeleze kuhusu sura za kitabu hiki ambazo wametumia katika eneo lenu na kupata matokeo. Walitumia swali, picha, au andiko gani walipokuwa wakitoa kitabu hiki? Panga onyesho moja.
Dak. 10: Sanduku la Swali. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Soma na uzungumzie maandiko yaliyo katika sanduku.