Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 9
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 9
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 19-22
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 22:1-19
Na. 2: Jinsi ya Kumfurahisha Mungu (lr sura ya 40)
Na. 3: Je, Wale 144,000 Ni Wayahudi wa Asili Peke Yao? (rs uku. 202 ¶5–uku. 203 ¶3)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jukumu Letu Kuhusiana na Kugawa Vitabu na Magazeti. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 133, fungu la 1-3. Kazia jukumu la kila mhubiri la kutumia magazeti na vitabu vyetu kwa hekima.
Dak. 20: “Tunapaswa Kuwarudia Wanaopendezwa Baada ya Muda Gani?” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Panga onyesho kuhusu jinsi mhubiri anavyoweza kufanya ziara ya kurudia akiwa na lengo la kuanzisha funzo la Biblia.