Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 16
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 16
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 12 ¶15-22, sanduku kwenye uku. 140
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 23-27
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 25:1-16
Na. 2: Watoto Wanaomfurahisha Mungu (lr sura ya 41)
Na. 3: Ni Mambo Gani Tunayopaswa Kuyaona Kuwa Matakatifu?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tumia Ufahamu ili Uguse Moyo. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 258, fungu la 1, hadi ukurasa wa 259, fungu la 3.
Dak. 10: Waelekeze Wanaopendezwa Kwenye Tengenezo la Yehova. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 99, fungu la 2, hadi ukurasa wa 100, fungu la 1. Panga onyesho kuhusu jambo moja linalozungumziwa katika habari hiyo.
Dak. 10: “Wakeni Roho.” Mazungumzo kwa maswali na majibu.