Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 23
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 23
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 13 ¶1-4, masanduku kwenye uku. 148-149, 158-159
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kumbukumbu la Torati 28-31
Na. 1: Kumbukumbu la Torati 30:1-14
Na. 2: Kwa Nini Tufanye Kazi? (lr sura ya 42)
Na. 3: Maandiko Husema Nini Kuhusu Tumaini la “Umati Mkubwa”? (rs uku. 203 ¶4–uku. 204 ¶1)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 5: Jitayarishe Kutoa Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Taja makala zinazoweza kuwapendeza watu wengi katika eneo lenu. Panga onyesho kuhusu jinsi mhubiri mwenye uzoefu anavyoweza kumsaidia mhubiri mpya ajitayarishe kushiriki katika kazi ya kutoa magazeti.
Dak. 25: “Kuwahubiria Watu Wanaozungumza Lugha ya Kigeni.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 4, panga onyesho kuhusu mhubiri anayetumia pendekezo katika fungu hilo.