Matangazo
◼ Toleo la mwezi wa Novemba: Biblia Inafundisha Nini Hasa? Ikiwa mwenye nyumba tayari ana kitabu hicho, wahubiri wanaweza kumwachia kitabu Mwabudu Mungu, au Ujuzi, au kitabu kingine chochote chenye kurasa 192 ambacho karatasi zake zinabadilika rangi au kitabu chochote kilichochapishwa kabla ya mwaka wa 1995. Broshua Anataka inaweza kutolewa pia. Desemba: Yule Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi. Ikiwa kuna watoto katika familia, kitabu Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu kinaweza kutolewa. Januari: Biblia Inafundisha Nini Hasa? Ikiwa mwenye nyumba tayari ana kitabu hicho, basi mtolee kitabu Ujuzi, Mwabudu Mungu, broshua Anataka, au kitabu kingine chochote chenye kurasa 192 ambacho karatasi zake zinabadilika rangi, au kitabu chochote kilichochapishwa kabla ya mwaka wa 1995. Februari: Toa kimoja kati ya vitabu vifuatavyo: Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu?, Je, Kuna Muumba Anayekujali?, au Siri ya Kupata Furaha ya Familia.