Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 7
JUMA LINALOANZA DESEMBA 7
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 13 ¶16-26, sanduku kwenye uku. 156
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 1-5
Na. 1: Yoshua 5:1-15
Na. 2: Rafiki Zetu Wanapaswa Kuwa Watu Wanaompenda Mungu (lr sura ya 44)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Ni Nini? Na Tunaonyeshaje Kwamba Tunautaka? (lr sura ya 45)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mpango wa Kuhubiri Eneo. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea mafungu sita chini ya kichwa kidogo “Eneo” kwenye ukurasa wa 102-104 wa kitabu Tengenezo. Mhoji mwangalizi wa utumishi kuhusu mipango ya kwenu.
Dak. 20: “Je, Nimpeleke Mtoto Wangu Kwenye Shule ya Bweni?” Mazungumzo kwa maswali na majibu.