Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 1/10 uku. 1
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 11

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 11
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA JANUARI 11
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 1/10 uku. 1

Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 11

JUMA LINALOANZA JANUARI 11

Wimbo 126

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

lv sura ya 15 ¶10-17, sanduku kwenye uku. 177

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Yoshua 21-24

Na. 1: Yoshua 24:1-13

Na. 2: Je, Mungu Ana Huruma, na Je, Anajali?

Na. 3: Je, Biblia Inasema Kwamba Nafsi Inaendelea Kuishi Baada ya Mwili Kufa? (rs uku. 154 ¶1-5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 1

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 15: Wafundishe Wanafunzi Wako wa Biblia Jinsi ya Kujifunza. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea habari chini ya kichwa kidogo “Jinsi ya Kujifunza” kwenye ukurasa wa 28-31 wa kitabu Shule ya Huduma. Anza kwa onyesho ambapo mhubiri mwenye uzoefu anatumia habari kwenye ukurasa wa 7 wa kitabu Biblia Inafundisha kumwonyesha mwanafunzi mpya wa Biblia jinsi ya kujitayarisha kwa ajili ya funzo lake.

Dak. 15: “Je, Ninastahili Kuhubiri?” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 4, mhoji mhubiri kwa maswali kama haya: Ilikubidi ushinde vizuizi gani ili kazi yako ya kuhubiri iwe na matokeo? Ulisaidiwa katika njia zipi kuwa mhudumu mwenye bidii na mwenye matokeo?

Wimbo 97

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki