Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 11
JUMA LINALOANZA JANUARI 11
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 15 ¶10-17, sanduku kwenye uku. 177
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoshua 21-24
Na. 1: Yoshua 24:1-13
Na. 2: Je, Mungu Ana Huruma, na Je, Anajali?
Na. 3: Je, Biblia Inasema Kwamba Nafsi Inaendelea Kuishi Baada ya Mwili Kufa? (rs uku. 154 ¶1-5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Wafundishe Wanafunzi Wako wa Biblia Jinsi ya Kujifunza. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea habari chini ya kichwa kidogo “Jinsi ya Kujifunza” kwenye ukurasa wa 28-31 wa kitabu Shule ya Huduma. Anza kwa onyesho ambapo mhubiri mwenye uzoefu anatumia habari kwenye ukurasa wa 7 wa kitabu Biblia Inafundisha kumwonyesha mwanafunzi mpya wa Biblia jinsi ya kujitayarisha kwa ajili ya funzo lake.
Dak. 15: “Je, Ninastahili Kuhubiri?” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 4, mhoji mhubiri kwa maswali kama haya: Ilikubidi ushinde vizuizi gani ili kazi yako ya kuhubiri iwe na matokeo? Ulisaidiwa katika njia zipi kuwa mhudumu mwenye bidii na mwenye matokeo?