Habari Kuu za Utumishi
Kenya: Mwezi wa Agosti kulikuwa na kilele kipya cha wahubiri 23,801. Watu 61,689 walihudhuria Ukumbusho.
Tanzania: Kulikuwa na ongezeko la asilimia 2 mwaka uliopita, na inafurahisha kwamba kwa wastani, kila mhubiri aliongoza funzo 1.0.
Uganda: Mwezi wa Agosti kulikuwa na kilele kipya cha wahubiri 4,945.