Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 3
JUMA LINALOANZA MEI 3
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 1-3
Na. 1: 2 Samweli 2:12-23
Na. 2: Je, Yesu Alitumia Jina la Mungu Alipohubiri?
Na. 3: Sikukuu za Kukumbuka “Roho za Wafu” Zilianzia Wapi? (rs uku. 280 ¶2–uku. 281 ¶2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Mwenye Nyumba Akisema, ‘Ninyi Hamwamini Yesu.’ Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 437 na 438.
Dak. 10: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Nufaika kwa Kuhubiri Kama Kikundi. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 108, fungu la 1-3. Mwombe mwangalizi wa utumishi ataje wakati na mahali pa mikutano ya utumishi wa shambani. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo wamenufaika kwa kuunga mkono mpango huu, na pia kwa kuhubiri pamoja na wahubiri wengine wa kikundi chao cha utumishi wa shambani.