Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 14
JUMA LINALOANZA JUNI 14
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 22-24
Na. 1: 2 Samweli 22:1-20
Na. 2: Sheria Ilikuwa Mtunzaji Anayeongoza kwa Kristo Katika Njia Gani? (Gal. 3:24)
Na. 3: Tunapaswa Kuzionaje Sanamu Ambazo Huenda Tumekuwa Tukiziabudu? (rs uku. 264 ¶1-3)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Wapongeze akina ndugu kwa utendaji wao wakati wa majira ya Ukumbusho na utaje mambo yaliyotimizwa. Waombe wasikilizaji wasimulie mambo waliyofurahia walipokuwa mapainia wasaidizi.
Dak. 10: Mwalimu Mzuri Huonyesha Mwanafunzi Jinsi Habari Inavyotumika. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 60.
Dak. 10: “Je, Jicho Lako Ni Rahisi?” Mazungumzo kwa maswali na majibu.