Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 21
JUMA LINALOANZA JUNI 21
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 1-2
Na. 1: 1 Wafalme 1:1-14
Na. 2: Kutumia Sanamu Katika Ibada Kunaweza Kuathiri Jinsi Gani Wakati Wetu Ujao? (rs uku. 264 ¶4-7)
Na. 3: Kwa Nini Tunanufaika Kimwili na Kiroho kwa Kumtii Mungu?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Toleo la Mwezi wa Julai. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Pitia kifupi broshua zitakazotolewa mwezi wa Julai, kisha upange kuwe na onyesho moja au mawili kuhusu kutoa broshua hizo.
Dak. 15: “Uwe Tayari Kila Wakati Kuanzisha Funzo la Biblia.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Tia ndani onyesho la jinsi tunavyoweza kuanzisha funzo la Biblia kwa kutumia trakti Kujua Ukweli, tunapomrudia mtu ambaye aliachiwa mojawapo ya broshua ambazo ni toleo la mwezi wa Julai.