Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 12
JUMA LINALOANZA JULAI 12
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 9-11
Na. 1: 1 Wafalme 9:10-23
Na. 2: Ushauri wa Biblia Ni Nini Kuhusu Kutafuta Mali na Kunywa Pombe Kupita Kiasi? (rs uku. 333 ¶3-4)
Na. 3: Jinsi Wakristo wa Kweli Wanavyoonyesha Kwamba Wana Hekima Inayotoka Juu (Yak. 3:17)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Je, Umejaribu Kufuata Madokezo ya Huduma Yetu ya Ufalme? Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Pitia kifupi habari katika makala hizi za karibuni za Huduma Yetu ya Ufalme: “Jitahidi Kuwahubiria Wanaume” (8/09), “Sisi Ni Mashahidi Wakati Wote” (11/09), na “Msaidie Mwenzako Mlangoni” (3/10). Waombe wasikilizaji watoe maelezo ya jinsi walivyotumia madokezo yaliyo katika makala hizo na faida walizopata.
Dak. 15: “Tunatanguliza Nini?” Mazungumzo kwa maswali na majibu.