Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 19
JUMA LINALOANZA JULAI 19
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 7 ¶17-21, sanduku kwenye uku. 75
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 12-14
Na. 1: 1 Wafalme 12:12-20
Na. 2: Ni Nini Kinachoweza Kutusaidia Kuwaona Ndugu Zetu Kama Yehova Anavyowaona?
Na. 3: Thamini Uhusiano Wako Pamoja na Yehova na Uepuke Mashirika Mabaya (rs uku. 334 ¶2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Njia za Kupanua Huduma Yako—Sehemu ya 2. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 112, fungu la 3, hadi ukurasa wa 114, fungu la 1. Mhoji painia mmoja au wawili kuhusu jinsi walivyofaulu kurekebisha ratiba zao ili waweze kupainia.
Dak. 10: Jinsi ya Kujitayarisha kwa Ajili ya Muhula Ujao Shuleni. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu hali ngumu ambazo vijana Wakristo watakabili shuleni. Eleza jinsi wazazi wanavyoweza kutumia Fahirisi, vitabu Vijana Huuliza, na vifaa vingine vya kitheokrasi wakati wa Ibada ya Familia kuwatayarisha watoto wao ili waweze kushinda vishawishi na kueleza imani yao. (1 Pet. 3:15) Chagua kichwa kimoja au viwili, na ueleze baadhi ya habari muhimu zinazopatikana katika vitabu vyetu. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu jinsi walivyofaulu kutoa ushahidi walipokuwa shuleni.
Dak. 10: “Je, Ninatimiza Huduma Yangu vya Kutosha?” Mazungumzo kwa maswali na majibu.