Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 9
JUMA LINALOANZA AGOSTI 9
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 8 ¶18-22, sanduku kwenye uku. 86
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Wafalme 21-22
Na. 1: 1 Wafalme 22:1-12
Na. 2: Mtu Anaongozwa na Nani Wakati Tamaa Yake ya Kuwa na Uhuru wa Kujiamulia Mambo Inapomfanya Aige Ulimwengu? (rs uku. 336 ¶4-5)
Na. 3: Mfano wa Eliya Unatufundisha Nini Kuhusu Sala? (Yak. 5:18)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Je, Kweli Fundisho la Mageuzi ni la Kisayansi? Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 161, fungu la 1 hadi ukurasa 166, fungu la 1. Waombe wasikilizaji wasimulie mambo yaliyoonwa walipotumia habari hiyo kuhubiri shuleni au katika pindi nyinginezo.
Dak. 10: Una Miradi Gani ya Kiroho? Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 117 fungu la 2, hadi mwisho wa sura. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi wazazi au wengine walivyowasaidia kuweka miradi ya utumishi wa wakati wote.
Dak. 10: “Uandalizi kwa Wahudumu Wakristo.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Tangaza tarehe za kusanyiko la mzunguko litakalofuata iwapo zinajulikana. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi walivyonufaika na kusanyiko la mzunguko la hivi karibuni.