Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 16
JUMA LINALOANZA AGOSTI 16
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 1-4
Na. 1: 2 Wafalme 1:1-10
Na. 2: Kwa Nini Uradhi wa Kudumu Hautokani na Mali? (Mhu. 5:10)
Na. 3: Jina la Mungu Linapatikana Wapi Katika Biblia Zinazotumiwa na Watu Wengi Leo? (rs uku 420 ¶1–uku. 422 ¶2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Msaidie Mwanafunzi Wako Awe Mhubiri. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 78, fungu la 3, hadi mwisho wa ukurasa wa 80.
Dak. 10: Kazia Faida ya Habari Njema. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 159. Waombe wasikilizaji waeleze mambo yanayowahangaisha watu katika eneo lenu. Waombe watoe madokezo kuhusu jinsi tunavyoweza kushughulikia mahangaiko hayo tunapozungumza na watu.
Dak. 10: “Chakula kwa Wakati Unaofaa.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Tangaza tarehe ya kusanyiko la pekee linalofuata ikiwa inajulikana.