Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 23
JUMA LINALOANZA AGOSTI 23
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Wafalme 5-8
Na. 1: 2 Wafalme 6:8-19
Na. 2: Kwa Nini Tafsiri Nyingi za Biblia Hazitumii Jina la Mungu au Hulitumia Mara Chache Tu? (rs uku. 422 ¶3–p. 423 ¶2)
Na. 3: Tamaa ya Mwili Inaweza Kuwa Ibada ya Sanamu Jinsi Gani? (Flp. 3:18, 19)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Anzisha Funzo la Biblia Katika Ziara ya Kwanza Mwezi wa Septemba. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Katika mwezi wa Septemba tutatumia kitabu Biblia Inafundisha katika utumishi na kujitahidi kuzungumzia fungu moja au mawili pamoja na wenye nyumba katika ziara ya kwanza. Zungumzia madokezo kadhaa kuhusu jinsi ya kufanya hivyo. Panga onyesho moja au mawili kuhusu jinsi ya kuanzisha mafunzo katika ziara ya kwanza.
Dak. 20: “Unaweza Kuhubiri Isivyo Rasmi!”—Sehemu ya 1. Mazungumzo kwa maswali na majibu yanayotegemea fungu la 1-8. Panga onyesho moja au mawili yanayotegemea madokezo hayo.