Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 11
JUMA LINALOANZA OKTOBA 11
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 11 ¶15-21, sanduku kwenye uku. 117
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 5-7
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 6:31-47
Na. 2: Je, Mashahidi wa Yehova Ni Farakano au Madhehebu, na Dini Yao Ilianza Wakati Gani? (rs uku. 190 ¶6–uku. 192 ¶1)
Na. 3: Wanadamu Wasio Wakamilifu Wanaweza Kuwa Watakatifu Jinsi Gani? (1 Pet. 1:16)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Unapaswa Kujibu Jinsi gani? Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 69, fungu la 1-5. Tia ndani onyesho la painia anayejibu swali la mwanafunzi wa Biblia ambaye anahitaji kufanya uamuzi wa kibinafsi. Mwanafunzi anauliza, “Kama ungekuwa katika hali yangu, ungefanya nini?”
Dak. 10: Usafi wa Kimwili Humletea Mungu Utukufu. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 137, fungu la 1 hadi ukurasa wa 138, fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi walivyovutiwa na kweli kwa sababu ya kuwaona Mashahidi wa Yehova wakiwa safi, nadhifu, na wenye kiasi.
Dak. 10: “Usiogope.” Maswali na majibu.