Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 10/10 uku. 1
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 11

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 11
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA OKTOBA 11
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 10/10 uku. 1

Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 11

JUMA LINALOANZA OKTOBA 11

Wimbo 50

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

cf sura ya 11 ¶15-21, sanduku kwenye uku. 117

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 5-7

Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 6:31-47

Na. 2: Je, Mashahidi wa Yehova Ni Farakano au Madhehebu, na Dini Yao Ilianza Wakati Gani? (rs uku. 190 ¶6–uku. 192 ¶1)

Na. 3: Wanadamu Wasio Wakamilifu Wanaweza Kuwa Watakatifu Jinsi Gani? (1 Pet. 1:16)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 81

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Unapaswa Kujibu Jinsi gani? Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 69, fungu la 1-5. Tia ndani onyesho la painia anayejibu swali la mwanafunzi wa Biblia ambaye anahitaji kufanya uamuzi wa kibinafsi. Mwanafunzi anauliza, “Kama ungekuwa katika hali yangu, ungefanya nini?”

Dak. 10: Usafi wa Kimwili Humletea Mungu Utukufu. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 137, fungu la 1 hadi ukurasa wa 138, fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi walivyovutiwa na kweli kwa sababu ya kuwaona Mashahidi wa Yehova wakiwa safi, nadhifu, na wenye kiasi.

Dak. 10: “Usiogope.” Maswali na majibu.

Wimbo 67

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki