Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 15
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 15
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 26-29
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 29:10-19
Na. 2: Kwa Nini Mafundisho ya Mashahidi wa Yehova Yamekuwa Yakibadilika? (rs uku. 194 ¶1)
Na. 3: Je, Wayahudi Wote Watageuka Kuwa Wakristo Hatimaye?
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 20: “The Bible—Accurate History, Reliable Prophecy.” Maswali na majibu. Ikiwa DVD hiyo haipatikani, tumieni habari zilizo katika sura ya 2 ya kitabu Biblia Inafundisha, fungu la 8-9, 13-17.
Dak. 10: Sanduku la Swali. Hotuba itolewe na mzee.