Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 22
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 22
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 13 ¶18-21, sanduku kwenye ukurasa uku. 138
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 1-5
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 3:1-13
Na. 2: Yehova Alisamehe Dhambi kwa Msingi Gani Kabla ya Ukristo? (Rom. 3:24, 25)
Na. 3: Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanahubiri Nyumba kwa Nyumba? (rs uku. 194 ¶2–195 ¶1)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Toleo la Mwezi wa Desemba. Mazungumzo. Pitia yaliyomo katika vitabu vitakavyotolewa, na upange onyesho moja au mawili ya jinsi ya kutoa vitabu hivyo.
Dak. 20: “Jitahidi Kumfikia Mwenzi wa Ndoa Asiye Mwamini.” Maswali na majibu. Mhoji mhubiri aliyekuwa mwenzi wa ndoa asiye mwamini. Kutaniko lilimsaidia jinsi gani kuanza kupendezwa na kweli?