Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 29
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 29
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 6-9
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 6:12-21
Na. 2: Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanateswa? (rs uku. 195 ¶3-4)
Na. 3: Jinsi Tunavyoweza “Kuushinda Uovu kwa Wema” (Rom. 12:21)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: “Wahudumu Wenye Bidii Wanahitaji Kusali na Kutafakari.” Maswali na majibu. Waombe wasikilizaji waeleze ni wakati gani wanaotumia kutafakari.
Dak. 10: ‘Na Tutoe Toleo la Yehova.’ Hotuba itolewe na mzee ikitegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Novemba 15, 2010, ukurasa wa 20-21.
Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Desemba. Mazungumzo. Tumia dakika moja au mbili kupitia magazeti ya karibuni. Kisha chagua makala mbili au tatu na uwaombe wasikilizaji wataje maswali na maandiko yanayoweza kutumiwa wakati magazeti hayo yanapotolewa. Panga maonyesho ya jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.