Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 11/10 uku. 7
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 29

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 29
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA NOVEMBA 29
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 11/10 uku. 7

Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 29

JUMA LINALOANZA NOVEMBA 29

Wimbo 82

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

cf sura ya 14 ¶1-9

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 6-9

Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 6:12-21

Na. 2: Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanateswa? (rs uku. 195 ¶3-4)

Na. 3: Jinsi Tunavyoweza “Kuushinda Uovu kwa Wema” (Rom. 12:21)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 129

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: “Wahudumu Wenye Bidii Wanahitaji Kusali na Kutafakari.” Maswali na majibu. Waombe wasikilizaji waeleze ni wakati gani wanaotumia kutafakari.

Dak. 10: ‘Na Tutoe Toleo la Yehova.’ Hotuba itolewe na mzee ikitegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Novemba 15, 2010, ukurasa wa 20-21.

Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Desemba. Mazungumzo. Tumia dakika moja au mbili kupitia magazeti ya karibuni. Kisha chagua makala mbili au tatu na uwaombe wasikilizaji wataje maswali na maandiko yanayoweza kutumiwa wakati magazeti hayo yanapotolewa. Panga maonyesho ya jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.

Wimbo 132

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki