Matangazo
◼ Toleo la mwezi wa Novemba: Biblia—Ina Ujumbe Gani? Habari kuhusu kampeni ya ulimwenguni pote ya kuitumia broshua hiyo zitatolewa baadaye. Pia, broshua zifuatazo zinaweza kutumiwa: Kitabu kwa Ajili ya Watu Wote, Roho za Wafu—Je, Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je, Ziko Kweli?, Je, Umeipata Barabara Inayoongoza Kwenye Uhai wa Milele? Desemba: Yule Mtu Mkuu Zaidi Aliyepata Kuishi. Ikiwa kuna watoto katika familia, kitabu Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu kinaweza kutolewa. Januari: Biblia Inafundisha Nini Hasa? Ikiwa mwenye nyumba tayari ana kitabu hicho, basi mtolee kitabu kingine chochote chenye kurasa 192 ambacho karatasi zake zinabadilika rangi, au kitabu chochote kilichochapishwa kabla ya mwaka wa 1995. Februari: Wahubiri wanaweza kutoa mojawapo ya vitabu vifuatavyo Je, Kuna Muumba Anayekujali?, Biblia—Neno la Mungu au la Binadamu?, au Siri ya Furaha ya Familia.