Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 6
JUMA LINALOANZA DESEMBA 6
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 10-14
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 13:1-12
Na. 2: Yehova Anawalinda Washikamanifu Wake Jinsi Gani? (Zab. 37:28)
Na. 3: Mtu Akisema: “Kwa Nini Hamshiriki Kufanya Ulimwengu Kuwa Mahali Bora pa Kuishi?” (rs uku. 196 ¶1–uku. 197 ¶1)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Waombe wasikilizaji wasimulie mambo waliyofurahia walipokuwa wakitoa broshua Ujumbe wa Biblia au walipoitumia kuanzisha mafunzo ya Biblia.
Dak. 15: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Jinsi ya Kuwaheshimu Wengine Katika Huduma. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 190 hadi ukurasa wa 192, fungu la 2.