Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 20
JUMA LINALOANZA DESEMBA 20
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 20-24
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 20:1-12
Na. 2: Kujifunza na Kuzungumza Lugha Safi Kunahusisha Nini? (Sef. 3:9)
Na. 3: Je, Yesu Kristo Alikuwa Mtu Halisi? (rs uku. 428 ¶1-4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Je, Umejaribu Kufuata Madokezo ya Huduma Yetu ya Ufalme? Mazungumzo. Kwa njia ya hotuba, pitia kwa ufupi habari kutoka katika makala hizi za karibuni za Huduma Yetu ya Ufalme: “Je, Umewahi Kuanzisha Funzo Katika Ziara ya Kwanza?” na “Jinsi ya Kuwazoeza Wahubiri Wapya Katika Utumishi.” (km 5/10) na “Unaweza Kuhubiri Isivyo Rasmi!” (km 8/10). Waombe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo wamejaribu kutumia madokezo katika makala hizo na jinsi walivyonufaika.
Dak. 15: Zungumza kwa Njia ya Kawaida Unapohubiri. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 128, fungu la 1, hadi ukurasa wa 129, fungu la 1. Mhoji kifupi mhubiri mwenye uzoefu ambaye zamani alikuwa mwenye haya. Ni nini kinachomsaidia kupunguza wasiwasi anapokuwa katika huduma?