Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 12/10 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 20

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 20
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA DESEMBA 20
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 12/10 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 20

JUMA LINALOANZA DESEMBA 20

Wimbo 79

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

cf sura ya 15 ¶1-7

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 20-24

Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 20:1-12

Na. 2: Kujifunza na Kuzungumza Lugha Safi Kunahusisha Nini? (Sef. 3:9)

Na. 3: Je, Yesu Kristo Alikuwa Mtu Halisi? (rs uku. 428 ¶1-4)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 12

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 15: Je, Umejaribu Kufuata Madokezo ya Huduma Yetu ya Ufalme? Mazungumzo. Kwa njia ya hotuba, pitia kwa ufupi habari kutoka katika makala hizi za karibuni za Huduma Yetu ya Ufalme: “Je, Umewahi Kuanzisha Funzo Katika Ziara ya Kwanza?” na “Jinsi ya Kuwazoeza Wahubiri Wapya Katika Utumishi.” (km 5/10) na “Unaweza Kuhubiri Isivyo Rasmi!” (km 8/10). Waombe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo wamejaribu kutumia madokezo katika makala hizo na jinsi walivyonufaika.

Dak. 15: Zungumza kwa Njia ya Kawaida Unapohubiri. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 128, fungu la 1, hadi ukurasa wa 129, fungu la 1. Mhoji kifupi mhubiri mwenye uzoefu ambaye zamani alikuwa mwenye haya. Ni nini kinachomsaidia kupunguza wasiwasi anapokuwa katika huduma?

Wimbo 17

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki