Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 3
JUMA LINALOANZA JANUARI 3
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 15 ¶17-20, sanduku kwenye uku. 160
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Mambo ya Nyakati 29-32
Na. 1: 2 Mambo ya Nyakati 30:13-22
Na. 2: Je, Yesu Kristo Alikuwa Mtu Mwema Tu? (rs uku. 428 ¶5)
Na. 3: Jinsi Kuogopa Kifo Kunavyowafanya Watu Wawe Watumwa (Ebr. 2:15)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo. “Kalenda ya 2011 Inakazia Ibada ya Familia.” Hotuba.
Dak. 5: Mahitaji ya kwenu.
Dak. 10: Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 168, fungu la 2, hadi mwisho wa sura hiyo.
Dak. 15: “Mfululizo Mpya wa Kutusaidia Kuanzisha Mafunzo ya Biblia.” Maswali na majibu. Kabla ya kuanza mazungumzo, wape gazeti la Mnara wa Mlinzi la Januari 1, 2011, wahubiri wowote ambao hawakubeba nakala zao. Malizia kwa onyesho moja au mawili ya jinsi ya kutumia makala “Jifunze Kutoka Katika Neno la Mungu—Kwa Nini Ujifunze Kutoka kwa Mungu?” kuanzisha funzo la Biblia.