Habari Kuu za Utumishi
Kenya: Katika mwezi wa Julai, wahubiri 22,975 waliongoza kilele kipya cha mafunzo ya Biblia 40,714.
Uganda: Katika mwezi wa Julai, wahubiri waliunga mkono jitihada za kuhubiri maeneo yasiyohubiriwa kwa ukawaida. Walitumia saa 134,297, wakafanya ziara za kurudia 70,640, na wakafurahia kuongoza mafunzo ya Biblia 14,155. Vyote hivyo vikiwa vilele vipya katika utendaji wao.