Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 20
JUMA LINALOANZA JUNI 20
Wimbo 63 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 5 ¶9-16, masanduku kwenye uku. 41-42 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 45-51 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 48:1–49:9 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Ufalme wa Mungu Ni Serikali Halisi?—rs uku. 311 ¶5–uku. 312 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Kuwa Uhai Ni Zawadi, kwa Nini Tunapaswa Kuufanyia Kazi Wokovu Wetu?—Rom. 6:23; Flp. 2:12 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 30: “Siku Tatu za Kuburudishwa Kiroho.” Maswali na majibu. Zungumzia “Vikumbusho vya Kusanyiko la Wilaya—2011.” Mnapozungumzia fungu la 5, mwombe mwangalizi wa utumishi aeleze kuhusu mpango wa kusambaza karatasi za mialiko katika eneo lenu.
Wimbo 107 na Sala