Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 18
JUMA LINALOANZA JULAI 18
Wimbo 98 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 6 ¶17-24, sanduku kwenye uku. 48 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 74-78 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 77:1-20 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Njia za Kumpinga Ibilisi—Yak. 4:7 (Dak. 5)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Utalitakasa Jina la Yehova—rs uku. 313 ¶2-4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Soma na uzungumzie Yohana 4:3-24. Zungumzia jinsi tunavyoweza kumwiga Yesu katika huduma yetu. Kisha, panga onyesho la mtu anayehubiri isivyo rasmi katika kikao cha kawaida.
Dak. 15: “Umewatayarisha Watoto Wako?” Maswali na majibu. Waombe wazazi na vijana wataje matatizo hususa ambayo Wakristo hukabili shuleni. Baada ya kuzungumzia fungu la 3, panga onyesho la kipindi cha mazoezi kati ya baba na mtoto kuhusu jinsi ya kukabili matatizo shuleni. Baba anaigiza kama mwalimu na mtoto anamweleza ni kwa nini hatashiriki katika kazi au shughuli fulani ya shule inayopingana na kanuni za Biblia.
Wimbo 91 na Sala