Ratiba ya Juma Linaloanza Julai 25
JUMA LINALOANZA JULAI 25
Wimbo 97 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 7 ¶1-8, sanduku kwenye uku. 53 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 79-86 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 84:1–85:7 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ufalme wa Mungu Utaunganisha Uumbaji Wote Katika Ibada Safi—rs uku. 313 ¶5–uku. 314 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Roho Wote Waovu Wanaamini Kwamba Kuna Mungu?—Yak. 2:19 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo. Taja toleo la Agosti, na upange onyesho la jinsi ya kutoa mojawapo ya broshua hizo.
Dak. 10: Kuhubiri Licha ya Matatizo ya Afya. Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa wa 64, fungu la 1-2, na ukurasa wa 69, fungu la 1. Waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 20: “Magazeti Yetu Yamekusudiwa Kuwavutia Watu Wengi.” Maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 2, tumia dakika moja kupitia yaliyomo katika gazeti la karibuni zaidi la Amkeni! Waombe wasikilizaji wapendekeze maswali na maandiko yanayoweza kutumiwa wakati wa kutoa gazeti hilo, na upange onyesho kuhusu jinsi gazeti la Amkeni! linavyoweza kutolewa. Baada ya kuzungumzia fungu la 3, fanya vivyo hivyo kuhusiana na gazeti la Mnara wa Mlinzi baada ya kuzungumzia fungu la 3.
Wimbo 134 na Sala