Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 22
JUMA LINALOANZA AGOSTI 22
Wimbo 54 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 8 ¶8-16 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 106-109 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 109:1-20 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ufalme wa Mungu Utaeneza Uadilifu na Haki—rs uku. 316 ¶1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Iga Mifano ya Yehova na Yesu kwa Kuonyesha Adabu (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. “Mapenzi ya Mungu na Yatendeke.” Maswali na majibu. Tangaza tarehe ya kusanyiko la pekee ikiwa inajulikana.
Dak. 25: “Je, Unaweza ‘Kuvuka Uingie Makedonia’?” Maswali na majibu. Mhoji mhubiri mmoja, ikiwa anapatikana, ambaye alihamia nchi au eneo lisilogawiwa yeyote ili kuhubiri habari njema. Zungumzieni habari zinazohusu nchi yenu.
Wimbo 95 na Sala