Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 24
JUMA LINALOANZA OKTOBA 24
Wimbo 75 na Sala
□ Funzo la Biblia la kutaniko:
bt sura ya 11 ¶13-19 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Methali 17-21 (Dak. 10)
Na. 1: Methali 17:21–18:13 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Upungufu wa Chakula na Vita Ni Sehemu za Ile “Ishara” Katika Njia Gani?—rs uku. 285 ¶2–uku. 286 ¶3 (Dak. 5)
Na. 3: Watu Wanaosifu Uumbaji Bila Kumsifu Muumba Wanajionyesha Kuwa Watu wa Aina Gani?—Rom. 1:20 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Taja toleo la mwezi wa Novemba na upange kuwe na onyesho moja au mawili ya jinsi ya kutoa broshua hizo.
Dak. 25: “Je unajifunza Yote Uwezayo Kutoka Kwa Yehova?” Maswali na majibu. Mhoji kifupi mhubiri aliyepokea mazoezi ya pekee kupitia tengenezo la Yehova.
Wimbo 105 na Sala