Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 19
JUMA LINALOANZA DESEMBA 19
Wimbo 125 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 14 ¶6-10, sanduku kwenye uku. 110 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 11-16 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 13:1-16 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Tunatembea kwa Imani Bali Si kwa Kuona?—2 Kor. 5:7 (Dak. 5)
Na. 3: Mtu akisema: ‘Hali Si Mbaya Sana Leo; Sikuzote Kumekuwako Vita, Njaa, Matetemeko ya Nchi, na Uhalifu’—rs p. 292 ¶1–4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Taja toleo la mwezi wa Januari, na upange onyesho la jinsi ya kutoa kitabu hicho.
Dak. 15: Hubiri Katika Majira Yenye Taabu. (2 Tim. 4:2) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa wa 121 hadi 123, fungu la 1, na ukurasa wa 226. Waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 10: Sanduku la Swali. Mazungumzo. Yashughulikiwe na mwangalizi wa utumishi.
Wimbo 92 na Sala