Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 16
JUMA LINALOANZA APRILI 16
Wimbo 85 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 19 ¶6-11 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 25-28 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 27:1-11 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Tunaweza Kujifunza Nini Katika Biblia Kumhusu Maria?—rs uku. 181 ¶3-8 (Dak. 5)
Na. 3: Biblia Inasema Nini Kuhusu Kuwaheshimu Watu Walio Wazee kwa Umri? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Sitawisha Ustadi wa Kufundisha—Sehemu ya 3. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 59-61.
Dak. 20: “Mashahidi wa Yehova—Imani Yenye Matendo, Sehemu ya 1: Kutoka Gizani.” Maswali na majibu. Tumia habari iliyo kwenye fungu la kwanza na la mwisho kutoa utangulizi na umalizio mfupi. Iwapo video hiyo haipatikani, tumia habari iliyo katika kitabu Wapiga Mbiu, ukurasa wa 718 hadi ukurasa wa 723 na ukazie baadhi ya matukio ya maana katika historia ya Mashahidi wa Yehova.
Wimbo 116 na Sala