Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 30
JUMA LINALOANZA APRILI 30
Wimbo 125 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 20 ¶1-7, sanduku kwenye uku. 156 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 32-34 (Dak. 10)
Pitio la Shule ya Huduma ya Kitheokrasi (Dak. 20)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Panga onyesho la jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Mei kwa kutumia pendekezo lililo katika ukurasa wa 8.
Dak. 10: Jinsi ya Kukabili Vipingamizi Kuhusu Dini. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 66, fungu la 5, hadi ukurasa wa 69, fungu la 3. Panga onyesho moja au mawili ya jinsi ya kutumia mapendekezo hayo.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Omba msikilizaji mmoja au zaidi wasome Matendo 4:1-13, 18-20. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma.
Dak. 5: “Sarafu Mbili Zenye Thamani Ndogo.” Hotuba.
Wimbo 126 na Sala