Ratiba ya Linaloanza Mei 21
JUMA LINALOANZA MEI 21
Wimbo 121 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 21 ¶1-7, sanduku kwenye uku. 166 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 44-48 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 46:18-28 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Maria Alikingiwa Asirithi Dhambi Mama Yake Alipomchukua Mimba?—rs uku. 184 ¶1–2 ¶ (Dak. 5)
Na. 3: Ni kwa Njia Gani Tunaweza Kupanda “kwa Roho”?—Gal. 6:8 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Taja toleo la mwezi wa Juni, na upange onyesho.
Dak. 15: Vijana, Mnaweza Kufanya Upainia Msaidizi Wakati wa Likizo? Hotuba. Pitia kwa ufupi fungu la 1 kwenye ukurasa wa 113 wa kitabu Tengenezo, na utaje matakwa ya kuwa painia msaidizi. Kisha, mhoji mhubiri mmoja au wawili ambao walitumia wakati wa likizo kufanya upainia msaidizi. Watie moyo vijana wafikirie kufanya upainia msaidizi wakati wa likizo ijayo.
Dak. 10: “Mungu Asema Nasi Kupitia Yeremia.” Maswali na majibu.
Wimbo 41 na Sala