Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 28
JUMA LINALOANZA MEI 28
Wimbo 133 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 21 ¶8-13, sanduku kwenye uku. 169 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 49-50 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 49:28-39 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Jina la Yehova Ni “Mnara Wenye Nguvu” Jinsi Gani?—Met. 18:10 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Maria Alipanda Mbinguni Akiwa na Mwili Wake Wenye Nyama?—rs uku. 184 ¶3–uku. 185 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Panga onyesho la jinsi mhubiri anavyoweza kutumia pendekezo lililo katika ukurasa wa 4 kuanzisha funzo katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Juni. Tumia magazeti ya karibuni zaidi katika kutaniko na utumie Huduma Yetu ya Ufalme iliyo na pendekezo la jinsi ya kuanzisha funzo kwa kutumia magazeti hayo.
Dak. 25: “Mashahidi wa Yehova—Imani Yenye Matendo, Sehemu ya 2: Nuru na Iangaze.” Maswali na majibu. Tumia habari zilizo katika fungu la kwanza na la mwisho kwa ajili ya utangulizi na umalizio mfupi. Ikiwa video hiyo haipatikani, tumia chati iliyo katika kitabu Wapiga-Mbiu, ukurasa wa 718-723, na uzungumzie miaka inayorejelewa katika sehemu hiyo.
Wimbo 93 na Sala