Ratiba ya Linaloanza Juni 4
JUMA LINALOANZA JUNI 4
Wimbo 103 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 21 ¶14-22 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 51-52 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 52:17-27 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Inafaa Kuelekeza Sala kwa Maria Kama Mwombezi?—rs uku. 185 ¶2-4 (Dak. 5)
Na. 3: Wanadamu Wanaweza Kuingia Katika “Mahali pa Siri” pa Yehova Jinsi Gani?—Zab. 91:1, 2, 9 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jinsi ya Kufikia Moyo—Sehemu ya 2. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma ukurasa wa 261, fungu la 1, hadi mwisho wa ukurasa wa 262.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Njia za Kutoa Magazeti Mwezi wa Juni. Mazungumzo. Tumia dakika moja au mbili kuzungumzia makala chache ambazo huenda zikawavutia watu katika eneo lenu. Kisha, ukitumia makala za kwanza za Mnara wa Mlinzi, waombe wasikilizaji wapendekeze swali linaloamsha upendezi ambalo watauliza, na vilevile andiko ambalo watasoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu makala za kwanza za Amkeni! na wakati ukiruhusu, makala nyingine moja kutoka katika gazeti lolote kati ya hayo. Panga onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa. Tumia magazeti ya karibuni zaidi kutanikoni.
Wimbo 61 na Sala