Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 11
JUMA LINALOANZA JUNI 11
Wimbo 123 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 22 ¶1-6 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Maombolezo 1-2 (Dak. 10)
Na. 1: Maombolezo 2:11-19 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mwanadamu ‘Anaiharibu Dunia’ kwa Njia Zipi?—Ufu. 11:18 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Maria Aliheshimiwa kwa Njia ya Pekee Katika Kutaniko la Kikristo la Karne ya Kwanza?—rs uku. 186 ¶2–uku. 187 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tulitimiza Nini? Mazungumzo. Yashughulikiwe na mwandishi. Taja mambo yaliyotimizwa wakati wa majira ya Ukumbusho, halafu uwapongeze wahubiri kwa utendaji wao. Waombe wasikilizaji wasimulie mambo waliyofurahia walipokuwa wakigawa mialiko ya Ukumbusho, walipofanya ziara za kuwarudia wapya waliohudhuria, na walipofanya upainia msaidizi.
Dak. 20: “Sababu 12 za Kuhubiri.” Mazungumzo.
Wimbo 47 na Sala