Ratiba ya Juma Linaloanza Desemba 10
JUMA LINALOANZA DESEMBA 10
Wimbo 32 na Sala
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 2 ¶14-19, sanduku kwenye uku. 25 (Dak. 30)
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Sefania 1-3–Hagai 1-2 (Dak. 10)
Na. 1: Hagai 1:1-13 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Falsafa za Wanadamu Zilitoka Wapi?—rs uku. 75 ¶2–uku. 76 ¶1 (Dak. 5)
Na. 3: Tunajua Mengi Kumhusu Yehova kwa Kupata Akili ya Kristo—Mt. 11:27 (Dak. 5)
❑ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 15: Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ya 2013. Hotuba. Itolewe na mwangalizi wa shule. Ukitumia maagizo ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ya 2013, zungumzia mambo ambayo kutaniko lenu linahitaji kuzingatia. Watie moyo wote watimize migawo yao kwa bidii, watoe maelezo wakati wa mambo makuu ya usomaji wa Biblia, na watumie mapendekezo yanayotolewa kila juma katika kitabu Shule ya Huduma.
Dak. 15: “Iweni Wenye Kufanya Amani na Watu Wote.” Maswali na majibu. Panga maonyesho mawili mafupi. Katika onyesho la kwanza mhubiri aonyeshe njia isiyofaa ya kumjibu mwenye nyumba aliyekasirika sana na katika onyesho la pili mhubiri aonyeshe njia inayofaa ya kumjibu mwenye nyumba huyo.
Wimbo 39 na Sala