Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 28
JUMA LINALOANZA JANUARI 28
Wimbo 29 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 4 ¶15-20 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mathayo 16-21 (Dak. 10)
Na. 1: Mathayo 17:22–18:10 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ni “Maneno Mema” Yapi ya Yehova Ambayo Yoshua Aliona Yakitimia?—Yos. 23:14 (Dak. 5)
Na. 3: Ni Unabii Gani Wenye Kutokeza wa Biblia Ambao Bado Haujatimizwa?—rs uku. 344 ¶2–uku. 345 ¶5 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Kuanzisha Funzo la Biblia Katika Jumamosi ya Kwanza. Ukitumia pendekezo lililo kwenye ukurasa wa 4, panga onyesho la jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Februari. Watie moyo wote washiriki katika utumishi. Tumia magazeti ya karibuni zaidi yanayopatikana kutanikoni na Huduma Yetu ya Ufalme iliyo na mapendekezo ya jinsi ya kutoa magazeti hayo.
Dak. 25: “Upendeni Ushirika Mzima wa Akina Ndugu.” Maswali na majibu. Tumia habari iliyo katika fungu la kwanza na la mwisho ili kutoa utangulizi na umalizio mfupi. Mahali ambapo video haipatikani, zungumzia habari zinazofaa kutoka katika sura ya 16 ya kitabu Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova yenye kichwa “Undugu Wenye Umoja.”
Wimbo 53 na Sala