Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 4
JUMA LINALOANZA MACHI 4
Wimbo 62 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 6 ¶7-12, sanduku kwenye uku. 73 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Marko 9-12 (Dak. 10)
Na. 1: Marko 11:19–12:11 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Je, Mtu Huendelea Kuadhibiwa Baada ya Kufa Kwake?—rs uku. 303 ¶5-9 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Kujiweka Wakfu kwa Mungu Huleta Furaha?—Mdo. 20:35 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Njia za Kutoa Magazeti Mwezi wa Machi. Mazungumzo. Waombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu maswali yafuatayo: Katika miisho juma tutakapokuwa tukigawanya mialiko, ni mambo gani yatakayoamua ikiwa pia utawaachia watu magazeti? Unaweza kusema nini ili baada ya kutoa mwaliko uzungumzie magazeti? Ingawa njia za kutoa magazeti hutia ndani swali na andiko, unawezaje kufupisha utoaji wako? Panga kuwe na onyesho la jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa ukitumia magazeti ya karibuni zaidi yanayopatikana kutanikoni pamoja na mwaliko.
Dak. 10: Faidika Kutokana na Kijitabu Kuyachunguza Maandiko Kila Siku—2013. Mazungumzo. Zungumzia kifupi andiko la mwaka linalopatikana katika ukurasa wa 3-4 na “Jinsi ya Kutumia Kijitabu Hiki,” katika ukurasa wa 5. Kisha waombe wasikilizaji waeleze kuhusu wakati waliotenga wa kuchunguza andiko la siku na jinsi ambavyo wamefaidika. Malizia kwa kuwatia moyo wote wachunguze andiko kila siku.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko na “Habari Kuu za Utumishi.”
Wimbo 119 na Sala