Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 25
JUMA LINALOANZA MACHI 25
Wimbo 76 na Sala
□Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 7 ¶1-6 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Luka 4-6 (Dak. 10)
Na. 1: Luka 4:22-39 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Jamii Mbalimbali Zilitoka Wapi?—rs uku. 95 ¶1-4 (Dak. 5)
Na. 3: Kuna Uthibitisho Gani Kwamba Yesu Alifufuliwa?—1 Kor. 15:3-7 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Kuanzisha Funzo la Biblia Katika Jumamosi ya Kwanza. Ukitumia mapendekezo yaliyo katika ukurasa wa 8, panga kuwe na onyesho la jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Aprili. Watie moyo wote washiriki.
Dak. 25: “Jinsi ya Kutumia Broshua Habari Njema Kutoka kwa Mungu!” Maswali na majibu. Panga kuwe na maonyesho mawili ambayo yatafanywa unapozungumzia fungu la 6.
Wimbo 97 na Sala