Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 13
JUMA LINALOANZA MEI 13
Wimbo 4 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 9 ¶8-13 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yohana 5-7 (Dak. 10)
Na. 1: Yohana 6:22-40 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Ilikuwa Lazima Fidia Itolewe kwa Njia Ambayo Ilitolewa?—rs uku. 78 ¶5-7 (Dak. 5)
Na. 3: Tunaweza Kutumiaje Kanuni Inayopatikana Kwenye Hesabu 15:37-40? (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Toleo la Machapisho la Mwezi wa Mei na Juni. Hotuba. Elezea kifupi kwa nini trakti zinazotolewa zitawavutia watu katika eneo lenu. Panga kuwe na onyesho moja au mawili ya jinsi trakti hizo zinavyoweza kutolewa katika huduma ya nyumba kwa nyumba.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome Mathayo 5:11, 12 na Mathayo 11:16-19. Zungumzia jinsi masimulizi hayo yanavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Dak. 10: “Ni Nini Hutuchochea Kuhubiri?” Maswali na majibu.
Wimbo 91 na Sala