Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 5/13 uku. 1
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 13

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 13
  • Huduma ya Ufalme—2013
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA MEI 13
Huduma ya Ufalme—2013
km 5/13 uku. 1

Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 13

JUMA LINALOANZA MEI 13

Wimbo 4 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

jr sura ya 9 ¶8-13 (Dak. 30)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Yohana 5-7 (Dak. 10)

Na. 1: Yohana 6:22-40 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Kwa Nini Ilikuwa Lazima Fidia Itolewe kwa Njia Ambayo Ilitolewa?​—rs uku. 78 ¶5-7 (Dak. 5)

Na. 3: Tunaweza Kutumiaje Kanuni Inayopatikana Kwenye Hesabu 15:37-40? (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 126

Dak. 10: Toleo la Machapisho la Mwezi wa Mei na Juni. Hotuba. Elezea kifupi kwa nini trakti zinazotolewa zitawavutia watu katika eneo lenu. Panga kuwe na onyesho moja au mawili ya jinsi trakti hizo zinavyoweza kutolewa katika huduma ya nyumba kwa nyumba.

Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome Mathayo 5:11, 12 na Mathayo 11:16-19. Zungumzia jinsi masimulizi hayo yanavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.

Dak. 10: “Ni Nini Hutuchochea Kuhubiri?” Maswali na majibu.

Wimbo 91 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki