Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 5/13 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 20

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 20
  • Huduma ya Ufalme—2013
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA MEI 20
Huduma ya Ufalme—2013
km 5/13 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 20

JUMA LINALOANZA MEI 20

Wimbo 70 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

jr sura ya 9 ¶14-19 (Dak. 30)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Yohana 8-11 (Dak. 10)

Na. 1: Yohana 8:12-30 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Ni Hatua Zipi Tunazoweza Kuchukua Ili Kujilinda Wenyewe na Walimu wa Uwongo?​—Rom. 16:17; 2 Yoh. 9-11 (Dak. 5)

Na. 3: Kwa Nini Mungu Hakuamuru Tu Kwamba Wale Ambao Wangemtii Wangeweza Kuishi Milele?​—rs uku. 79 ¶1–uku. 80 ¶1 (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 96

Dak. 10: Njia za Kupanua Huduma Yako—Sehemu ya 3. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 116, fungu la 1, hadi ukurasa wa 117, fungu la 1. Mhoji mhubiri mmoja au wawili waliosaidia katika ujenzi wa Jumba la Ufalme au ofisi ya tawi.

Dak. 10: Yehova Hutusaidia Tutimize Migawo Yetu. (Kut. 4:10-12; Flp. 4:13) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2013, ukurasa wa 101, fungu la 3; na ukurasa wa 111, fungu la 3, hadi ukurasa wa 112, fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.

Dak. 10: “Ni Nani Watakaopendezwa na Makala Hii?” Maswali na majibu. Waombe wasikilizaji wataje baadhi ya mashirika ya serikali na wafanyabiashara walio katika eneo la kutaniko ambao huenda wakavutiwa na habari fulani hususa iliyo katika magazeti yetu.

Wimbo 92 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki