Ratiba ya Juma Linaloanza Juni 17
JUMA LINALOANZA JUNI 17
Wimbo 48 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 10 ¶20-27 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Matendo 5-7 (Dak. 10)
Na. 1: Matendo 5:17-32 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mtu Anapaswa Kufanya Nini Ili Ajulikane na Yehova?—2 Tim. 2:19 (Dak. 5)
Na. 3: Tunapaswa Kufanya Nini Ili Tufaidike na Dhabihu ya Yesu?—rs uku. 82 ¶4–uku. 83 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: “Sikiliza na Ujifunze.” Maswali na majibu.
Dak. 10: “Kampeni Ambayo Huwa na Matokeo Mazuri.” Mazungumzo. Ikiwa mialiko ipo kutanikoni, wape wasikilizaji mialiko, na uzungumzie mambo yaliyomo katika mwaliko. Wajulishe wahubiri kuhusu wakati ambapo kampeni itaanza, na ueleze mipango ya kutaniko ya kugawa mialiko kwenye eneo lote. Panga kuwe na onyesho fupi.
Dak. 10: “Mwenendo Unaomtukuza Mungu.” Maswali na majibu. Pia zungumzia “Vikumbusho vya Kusanyiko la Wilaya—2013” ambavyo vinawahusu.
Wimbo 9 na Sala