Matangazo
◼ Toleo la machapisho la mwezi wa Juni: Wahubiri wanaweza kutoa mojawapo ya trakti zifuatazo: Je! Ulimwengu Huu Utaokoka?, Je, Una Roho Isiyoweza Kufa?, Kuna Tumaini Gani kwa Wapendwa Waliokufa?, Kuteseka Kote Kutaisha Karibuni!, Mashahidi wa Yehova Wanaamini Nini?, Uzima Katika Ulimwengu Mpya Wenye Amani, au Yehova—Yeye Ni Nani? Ikiwa mtu amependezwa kwelikweli, onyesha jinsi funzo la Biblia linavyofanywa ukitumia kitabu Biblia Inafundisha au mojawapo ya broshua Msikilize Mungu au Msikilize Mungu Uishi Milele. Julai na Agosti: Habari Njema Kutoka kwa Mungu! au mojawapo ya broshua zifuatazo: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je, Kweli Mungu Anatujali?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Mungu Anataka Tufanye Nini?, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, au yoyote kati ya broshua zenye kurasa 32 zinazopatikana katika kutaniko lenu. Septemba na Oktoba: Magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni!