Matangazo
◼ Toleo la machapisho la mwezi wa Julai na Agosti: Habari Njema Kutoka Kwa Mungu! au mojawapo ya broshua zifuatazo: Furahia Milele Maisha Duniani!, Je, Kweli Mungu Anatujali?, Jina la Mungu Litakaloendelea Milele, Mungu Anataka Tufanye Nini?, Roho za Wafu—Je! Zaweza Kukusaidia au Kukuumiza? Je! Ziko Kweli?, au yoyote kati ya broshua zenye kurasa 32 zinazopatikana katika kutaniko lenu. Septemba na Oktoba: Magazeti ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni!