Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 12
JUMA LINALOANZA AGOSTI 12
Wimbo 112 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 13 ¶1-7 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waroma 5-8 (Dak. 10)
Na. 1: Waroma 6:21–7:12 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Wakristo Fulani Wanachukuliwa Kwenda Mbinguni Wakawe Pamoja na Kristo?—rs uku. 114 ¶7-10 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Kutanguliza Vitu Vya Kimwili Badala ya Mambo ya Kiroho Huongoza Kwenye Msiba?—Mt. 6:33; 1 Tim. 6:10 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: “Neno la Mungu Ni Lenye Faida kwa Kufundisha.” Maswali na majibu. Tangaza tarehe za kusanyiko la mzunguko ikiwa zinajulikana.
Dak. 10: Jinsi Muhtasari Unavyoweza Kutusaidia Katika Huduma. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 167, fungu la 1, hadi ukurasa wa 168, fungu la 1. Kwa kutumia machapisho yatakayotolewa mwezi huu, panga kuwe na onyesho la mhubiri akijizungumzia jukwaani. Mhubiri huyo anatumia dakika chache kabla ya kwenda utumishi kutayarisha akilini mambo atakayozungumzia na mwenye nyumba.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Waombe wasikilizaji wasome Matendo 8:26-31. Zungumzia jinsi simulizi hilo linavyoweza kutusaidia katika huduma yetu.
Wimbo 61 na Sala