Ratiba ya Juma Linaloanza Agosti 19
JUMA LINALOANZA AGOSTI 19
Wimbo 51 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 13 ¶8-13 (Dak. 30)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waroma 9-12 (Dak. 10)
Na. 1: Waroma 9:19-33 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mtu Akisema, ‘Je, Unaamini Kwamba Watu Watanyakuliwa?’—rs uku. 115 ¶1-3 (Dak. 5)
Na. 3: Sababu za Kimaandiko Zinazoonyesha kwa Nini Hatupaswi Kuwaogopa Wanadamu—Luka 12:4-12 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: “Neno la Mungu Lina Nguvu.” Maswali na majibu. Tangaza tarehe ya kusanyiko la pekee ikiwa inajulikana.
Dak. 10: Jinsi ya Kuwajibu Wanaokataa Mazungumzo. Mazungumzo. Sehemu hii ishughulikiwe na mwangalizi wa utumishi. Taja njia mbili au tatu ambazo huenda watu katika eneo lenu wakatumia kukataa mazungumzo ambazo hazizungumziwi katika kitabu Kutoa Sababu. Waombe wasikilizaji waeleze jinsi wanavyoweza kushughulikia hali hizo. Panga kuwe na onyesho moja fupi.
Dak. 10: Hubiri kwa Ujasiri. (Matendo 4:29) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2013, ukurasa wa 49, fungu la 1-6; na ukurasa wa 69, fungu la 1 hadi ukurasa wa 70 fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Wimbo 92 na Sala